-
2 Wafalme 17:10-12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Wakaendelea kujisimamishia nguzo takatifu na miti mitakatifu*+ juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi;+ 11 nao walikuwa wakifukiza moshi wa dhabihu mahali pote pa juu kama yalivyofanya mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyapeleka uhamishoni kutoka mbele yao.+ Waliendelea kutenda maovu na kumkasirisha Yehova.
12 Waliendelea kuabudu sanamu zenye kuchukiza,*+ ambazo Yehova alikuwa amewaambia hivi kuzihusu: “Msifanye hivyo!”+
-
-
Yeremia 2:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,”
-