2 Wafalme 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na hapo katika mahali pote pa juu wakaendelea kufukiza moshi wa dhabihu sawa na mataifa+ ambayo Yehova alikuwa ameyapeleka uhamishoni kwa sababu yao, nao wakaendelea kutenda mambo mabaya ili kumtia uchungu+ Yehova;
11 na hapo katika mahali pote pa juu wakaendelea kufukiza moshi wa dhabihu sawa na mataifa+ ambayo Yehova alikuwa ameyapeleka uhamishoni kwa sababu yao, nao wakaendelea kutenda mambo mabaya ili kumtia uchungu+ Yehova;