Kutoka 34:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mtabomoa madhabahu zao, mtazivunjavunja nguzo zao takatifu, na kuikata miti yao mitakatifu.*+ Kumbukumbu la Torati 16:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Msipande mti wa aina yoyote na kuufanya kuwa mti mtakatifu*+ karibu na madhabahu ya Yehova Mungu wenu ambayo mtajitengenezea. 22 “Wala hampaswi kujisimamishia nguzo takatifu,+ kitu ambacho Yehova Mungu wenu anachukia.
13 Lakini mtabomoa madhabahu zao, mtazivunjavunja nguzo zao takatifu, na kuikata miti yao mitakatifu.*+
21 “Msipande mti wa aina yoyote na kuufanya kuwa mti mtakatifu*+ karibu na madhabahu ya Yehova Mungu wenu ambayo mtajitengenezea. 22 “Wala hampaswi kujisimamishia nguzo takatifu,+ kitu ambacho Yehova Mungu wenu anachukia.