-
Ezekieli 16:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 “‘Lakini ulianza kuutumaini urembo wako,+ nawe ukawa kahaba kwa sababu ya sifa zako.+ Ulimmwagia kila mpita-njia matendo yako ya ukahaba,+ na urembo wako ukawa wake. 16 Ukachukua baadhi ya mavazi yako na kutengeneza mahali pa juu penye rangi mbalimbali ambapo ulifanyia ukahaba+—mambo hayo hayapaswi kufanywa, wala hayapaswi kutendeka kamwe.
-