Ezekieli 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nawe ukachukua sehemu ya mavazi yako na kujifanyia mwenyewe mahali pa juu+ penye rangi mbalimbali nawe ukawa ukifanya ukahaba juu yake+—mambo hayo hayaingii, na hayapasi kutukia hivyo. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:16 Ibada Safi, kur. 165-167
16 Nawe ukachukua sehemu ya mavazi yako na kujifanyia mwenyewe mahali pa juu+ penye rangi mbalimbali nawe ukawa ukifanya ukahaba juu yake+—mambo hayo hayaingii, na hayapasi kutukia hivyo.