7 Tena akazibomoa nyumba za wanaume makahaba wa hekaluni+ waliokuwa katika nyumba ya Yehova, mahali ambapo wanawake walikuwa wakifuma vihekalu vya mahema kwa ajili ya ule mti mtakatifu.
20 Na pambo la mtu—mtu ameliweka kuwa sababu ya kiburi; na sanamu zao zenye kuchukiza,+ machukizo+ yao, wamezifanya kwa hilo. Ndiyo sababu nitalifanya hilo kuwa chukizo kwao.+