Ezekieli 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Walijivunia urembo wa mapambo yao, nao wakayatumia* kutengeneza mifano yao inayochukiza, sanamu zao zinazochukiza.+ Ndiyo sababu nitaifanya fedha na dhahabu yao kuwa chukizo kwao.
20 Walijivunia urembo wa mapambo yao, nao wakayatumia* kutengeneza mifano yao inayochukiza, sanamu zao zinazochukiza.+ Ndiyo sababu nitaifanya fedha na dhahabu yao kuwa chukizo kwao.