Yeremia 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 ‘Kwa maana wana wa Yuda wamefanya mambo mabaya machoni pangu,’ asema Yehova. ‘Wameyaweka machukizo yao katika nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake, ili kuitia unajisi.+ Yeremia 32:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nao wakawa wakiweka machukizo yao katika nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake, ili kuitia unajisi.+
30 ‘Kwa maana wana wa Yuda wamefanya mambo mabaya machoni pangu,’ asema Yehova. ‘Wameyaweka machukizo yao katika nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake, ili kuitia unajisi.+
34 Nao wakawa wakiweka machukizo yao katika nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake, ili kuitia unajisi.+