Yeremia 32:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nao waliweka sanamu zao zinazochukiza katika nyumba inayoitwa kwa jina langu, ili kuitia unajisi.+
34 Nao waliweka sanamu zao zinazochukiza katika nyumba inayoitwa kwa jina langu, ili kuitia unajisi.+