-
Ezekieli 8:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Kisha akaniambia: “Mwana wa binadamu, tafadhali inua macho yako kuelekea kaskazini.” Basi nikainua macho yangu kuelekea kaskazini, na huko, upande wa kaskazini wa lango la madhabahu kulikuwa na ishara hii ya* wivu langoni. 6 Naye akaniambia: “Mwana wa binadamu, je, unaona mambo mabaya sana na yenye kuchukiza ambayo watu wa nyumba ya Israeli wanafanya hapa,+ mambo yanayonifanya niende mbali sana na mahali pangu patakatifu?+ Lakini utaona mambo yanayochukiza yaliyo mabaya hata zaidi.”
-