Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye alijenga madhabahu kwa ajili ya jeshi lote la mbinguni katika nyua mbili za nyumba ya Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wakuu wote wa makuhani na pia watu walikosa uaminifu kupita kiasi, wakitenda mambo yote yenye kuchukiza ya mataifa, nao wakaichafua nyumba ya Yehova+ aliyokuwa ameitakasa Yerusalemu.

  • Yeremia 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Je, nyumba hii inayoitwa kwa jina langu imekuwa pango la wanyang’anyi machoni penu?+ Nimejionea jambo hilo,” asema Yehova.

  • Ezekieli 8:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi nikaingia na kutazama, nikaona mifano mbalimbali ya viumbe wanaotambaa na wanyama wanaochukiza+ na sanamu zote zinazochukiza* za watu wa nyumba ya Israeli;+ zilikuwa zimechongwa ukutani kuzunguka pande zote. 11 Na wazee 70 wa nyumba ya Israeli walikuwa wamesimama mbele ya vitu hivyo, naye Yaazania mwana wa Shafani+ alikuwa amesimama miongoni mwao. Kila mmoja wao alikuwa na chetezo chake mkononi mwake, na wingu la uvumba lenye manukato lilikuwa likipanda juu.+

  • Ezekieli 23:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Baada ya kuwachinja wana wao kama dhabihu kwa sanamu zao zinazochukiza,+ walikuja mahali pangu patakatifu ili kupatia unajisi+ siku hiyohiyo. Hivyo ndivyo walivyofanya ndani ya nyumba yangu mwenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki