17 Alikuwa akiwafundisha akisema: “Je, haikuandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya mataifa yote’?+ Lakini mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+
45 Kisha akaingia hekaluni na kuanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza,+46 akiwaambia: “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,’+ lakini mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+