Yeremia 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Je, nyumba hii inayoitwa kwa jina langu imekuwa pango la wanyang’anyi machoni penu?+ Nimejionea jambo hilo,” asema Yehova. Mathayo 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Akawaambia: “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala,’+ lakini ninyi mnaifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+ Luka 19:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 akiwaambia: “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,’+ lakini mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+ Yohana 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa: “Ondoeni vitu hivi hapa! Acheni kuifanya nyumba ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara!”*+
11 Je, nyumba hii inayoitwa kwa jina langu imekuwa pango la wanyang’anyi machoni penu?+ Nimejionea jambo hilo,” asema Yehova.
13 Akawaambia: “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala,’+ lakini ninyi mnaifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+
46 akiwaambia: “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,’+ lakini mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+
16 Akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa: “Ondoeni vitu hivi hapa! Acheni kuifanya nyumba ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara!”*+