17 Pia, ulichukua vito vyako maridadi vilivyotengenezwa kwa dhahabu na fedha ambayo nilikupatia nawe ukajitengenezea sanamu za kiume na kufanya nazo ukahaba.+ 18 Nawe ukachukua mavazi yako yaliyotariziwa na kuzifunika, nawe ukazitolea mafuta yangu na uvumba wangu.+