1 Mambo ya Nyakati 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi,+ mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia,+ mwana wa Hezekia alikuwa Manase,+ Mathayo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hezekia akawa baba ya Manase;+ Manase akawa baba ya Amoni;+ Amoni akawa baba ya Yosia;+
13 mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi,+ mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia,+ mwana wa Hezekia alikuwa Manase,+