Yeremia 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Waambie, “Yehova anasema hivi: ‘Ikiwa hamtanisikiliza kwa kufuata sheria* yangu niliyoweka mbele yenu, Yeremia 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 basi nitaifanya nyumba hii kama Shilo,+ nami nitalifanya jiji hili kuwa kitu cha kulaaniwa na mataifa yote ya dunia.’”’”+
4 Waambie, “Yehova anasema hivi: ‘Ikiwa hamtanisikiliza kwa kufuata sheria* yangu niliyoweka mbele yenu,
6 basi nitaifanya nyumba hii kama Shilo,+ nami nitalifanya jiji hili kuwa kitu cha kulaaniwa na mataifa yote ya dunia.’”’”+