Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye akajenga madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu katika Yerusalemu.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye akajenga madhabahu+ katika nyumba ya Yehova, ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Jina langu litakuwa katika Yerusalemu mpaka wakati usio na kipimo.”+

  • Yeremia 7:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 ‘Kwa maana wana wa Yuda wamefanya mambo mabaya machoni pangu,’ asema Yehova. ‘Wameyaweka machukizo yao katika nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake, ili kuitia unajisi.+

  • Yeremia 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana nabii pamoja na kuhani wametiwa unajisi.+ Pia katika nyumba yangu mwenyewe nimeupata ubaya wao,”+ asema Yehova.

  • Ezekieli 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “ ‘Kwa hiyo kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwa hakika kwa sababu ni patakatifu pangu ulipopatia unajisi kwa machukizo+ yako yote na kwa vinyaa+ vyako vyote, mimi mwenyewe pia Ndiye nitakayekupunguza+ wewe nalo jicho langu halitakusikitikia+ na mimi mwenyewe sitakuhurumia.+

  • Ezekieli 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye akaniambia: “Mwana wa binadamu, tafadhali inua macho yako kuelekea upande wa kaskazini.” Kwa hiyo nikayainua macho yangu kuelekea upande wa kaskazini, na, tazama! kaskazini mwa lango la madhabahu kulikuwa na mfano huu wa wivu+ katika njia ya kuingilia.

  • Ezekieli 23:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Tena, hili ndilo wamenifanyia: Wamepatia unajisi+ patakatifu+ pangu katika siku hiyo, nazo sabato zangu wamezitia unajisi.+

  • Hosea 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nilimkuta Israeli kama zabibu nyikani.+ Niliwaona mababu zenu kama tini ya mapema katika mtini ulio katika majira yake ya kwanza.+ Wao wenyewe waliingia kwa Baali wa Peori,+ nao wakajiweka wakfu kwa kitu kile cha aibu, wakawa wenye kuchukiza+ kama kile kitu walichokipenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki