Nehemia 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo nikaanza kuwalaumu watu wenye vyeo+ wa Yuda na kuwaambia: “Ni jambo gani baya hili mnalofanya ninyi, hata kuitia unajisi siku ya sabato? Ezekieli 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “ ‘Umepadharau mahali pangu patakatifu, nazo sabato zangu umezitia unajisi.+
17 Kwa hiyo nikaanza kuwalaumu watu wenye vyeo+ wa Yuda na kuwaambia: “Ni jambo gani baya hili mnalofanya ninyi, hata kuitia unajisi siku ya sabato?