Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “‘Sabato zangu mtazishika,+ nanyi mtapaheshimu patakatifu pangu.+ Mimi ni Yehova.

  • Ezekieli 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “ ‘ “Lakini wao, nyumba ya Israeli, waliniasi nyikani.+ Hawakutembea katika sheria+ zangu, nao wakayakataa maamuzi yangu ya hukumu,+ ambayo, mtu akiendelea kuyafanya, pia ataendelea kuishi kwa hayo.+ Nazo sabato zangu walizitia unajisi sana,+ hivi kwamba nikaahidi kumwaga ghadhabu yangu juu yao nyikani, ili kuwaangamiza.+

  • Ezekieli 23:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Tena, hili ndilo wamenifanyia: Wamepatia unajisi+ patakatifu+ pangu katika siku hiyo, nazo sabato zangu wamezitia unajisi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki