43 Wakati wote huo walipoiacha nchi na ilipokuwa ikilipa sabato zake+ huku ikikaa ukiwa bila wao, nao wenyewe walikuwa wakilipia kosa lao,+ kwa sababu, naam kwa sababu, walikuwa wameyakataa maamuzi yangu ya hukumu,+ nazo nafsi zao zilikuwa zimechukia sheria zangu.+