Mambo ya Walawi 26:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Hata hivyo, mimi nilitembea kwa kuwapinga,+ na nikalazimika kuwaleta katika nchi ya adui zao.+ “‘Labda wakati huo moyo wao ambao haujatahiriwa+ utanyenyekezwa,+ na wakati huo watalipia kosa lao. Hesabu 14:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa hesabu ya siku mlizoipeleleza nchi hiyo, siku 40,+ siku moja kwa mwaka mmoja, siku moja kwa mwaka mmoja,+ mtajibu kwa sababu ya makosa yenu miaka 40,+ kwa maana lazima mjue maana ya mimi kutenganishwa nanyi.+
41 Hata hivyo, mimi nilitembea kwa kuwapinga,+ na nikalazimika kuwaleta katika nchi ya adui zao.+ “‘Labda wakati huo moyo wao ambao haujatahiriwa+ utanyenyekezwa,+ na wakati huo watalipia kosa lao.
34 Kwa hesabu ya siku mlizoipeleleza nchi hiyo, siku 40,+ siku moja kwa mwaka mmoja, siku moja kwa mwaka mmoja,+ mtajibu kwa sababu ya makosa yenu miaka 40,+ kwa maana lazima mjue maana ya mimi kutenganishwa nanyi.+