2 Mambo ya Nyakati 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Yehova alipoona+ kwamba wamejinyenyekeza, neno la Yehova likamjia Shemaya,+ na kusema: “Wamejinyenyekeza.+ Sitawaharibu, na baada ya kitambo kidogo nitawafanya waponyoke, na ghadhabu yangu haitamwagika juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.+
7 Na Yehova alipoona+ kwamba wamejinyenyekeza, neno la Yehova likamjia Shemaya,+ na kusema: “Wamejinyenyekeza.+ Sitawaharibu, na baada ya kitambo kidogo nitawafanya waponyoke, na ghadhabu yangu haitamwagika juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.+