Mambo ya Walawi 26:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Hata hivyo, mimi nilitembea kwa kuwapinga,+ na nikalazimika kuwaleta katika nchi ya adui zao.+ “‘Labda wakati huo moyo wao ambao haujatahiriwa+ utanyenyekezwa,+ na wakati huo watalipia kosa lao. Amosi 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova akajuta juu ya jambo hilo.+ “Hilo pia halitatokea,” Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova akasema.
41 Hata hivyo, mimi nilitembea kwa kuwapinga,+ na nikalazimika kuwaleta katika nchi ya adui zao.+ “‘Labda wakati huo moyo wao ambao haujatahiriwa+ utanyenyekezwa,+ na wakati huo watalipia kosa lao.