Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 26:1

Marejeo

  • +Kut 20:4; Law 19:4; Zb 96:5; Mdo 17:29; 1Ko 8:4
  • +Kum 5:8
  • +Hes 33:52
  • +Da 3:18; 1Ko 10:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 19

Mambo ya Walawi 26:2

Marejeo

  • +Law 19:30

Mambo ya Walawi 26:3

Marejeo

  • +Kum 11:13; Mhu 12:13; Isa 48:18

Mambo ya Walawi 26:4

Marejeo

  • +Kum 28:12; Isa 30:23; Eze 34:26; Yoe 2:23; Amo 4:7
  • +Zb 67:6; 85:12; Zek 8:12
  • +Eze 34:27; 36:30

Mambo ya Walawi 26:5

Marejeo

  • +Kum 11:15; Yoe 2:19
  • +Law 25:18; Met 1:33; Yer 23:6

Mambo ya Walawi 26:6

Marejeo

  • +1Nya 22:9; Zb 29:11; Hag 2:9; Flp 4:9
  • +Ayu 11:19; Zb 4:8; Yer 30:10; Mik 4:4
  • +2Fa 17:26
  • +Eze 14:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 591

Mambo ya Walawi 26:7

Marejeo

  • +Zb 18:37

Mambo ya Walawi 26:8

Marejeo

  • +Kum 28:7; 32:30; Yos 23:10; Amu 7:16; 15:15; 1Nya 11:20

Mambo ya Walawi 26:9

Marejeo

  • +Kut 2:25; 2Fa 13:23
  • +Kum 28:4; Ne 9:23; Zb 107:38
  • +Kut 6:4

Mambo ya Walawi 26:10

Marejeo

  • +Law 25:22

Mambo ya Walawi 26:11

Marejeo

  • +Kut 25:8; Yos 22:19; Eze 37:26; Ufu 21:3
  • +Law 20:23; Yer 14:21

Mambo ya Walawi 26:12

Marejeo

  • +Kut 6:7; Kum 23:14; 2Ko 6:16
  • +Yer 7:23; Eze 11:20

Mambo ya Walawi 26:13

Marejeo

  • +Kut 20:2; Law 25:38; Yer 11:4
  • +Yer 2:20

Mambo ya Walawi 26:14

Marejeo

  • +Kum 28:15; Mal 2:2

Mambo ya Walawi 26:15

Marejeo

  • +2Fa 17:15; Yer 13:10
  • +Kut 24:7; Kum 31:16; Yer 11:10; Ebr 8:9

Mambo ya Walawi 26:16

Marejeo

  • +Kum 28:22
  • +1Sa 2:33
  • +Eze 33:10
  • +Kum 28:33; Amu 6:3

Mambo ya Walawi 26:17

Marejeo

  • +Kum 28:25; Amu 2:14; 1Sa 4:10; Omb 2:17
  • +Zb 106:41; Omb 1:5
  • +Law 26:36; Met 28:1

Mambo ya Walawi 26:18

Marejeo

  • +Law 26:21; Zb 76:7; 79:12

Mambo ya Walawi 26:19

Marejeo

  • +Kum 11:17; 1Fa 17:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2004, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 24

Mambo ya Walawi 26:20

Marejeo

  • +Yer 12:13; Hag 1:6
  • +Kum 11:17; 28:18; Hag 1:10

Mambo ya Walawi 26:21

Marejeo

  • +Law 26:18

Mambo ya Walawi 26:22

Marejeo

  • +Kum 32:24; 2Fa 17:25; Yer 15:3
  • +2Fa 2:24; Eze 5:17
  • +Amu 5:6; Isa 33:8; Eze 14:15; Zek 7:14

Mambo ya Walawi 26:23

Marejeo

  • +Isa 1:16; Yer 2:30; 5:3; Ebr 12:6

Mambo ya Walawi 26:24

Marejeo

  • +Ayu 9:4; Zb 18:26
  • +Law 26:18

Mambo ya Walawi 26:25

Marejeo

  • +Eze 6:9; Ebr 10:30
  • +Kut 24:7
  • +Kum 28:21; 2Sa 24:15; Yer 24:10; Amo 4:10
  • +Amu 2:14; 1Sa 4:10

Mambo ya Walawi 26:26

Marejeo

  • +Zb 105:16; Eze 5:16
  • +Eze 4:16
  • +Isa 9:20; Mik 6:14; Hag 1:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2004, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 24

Mambo ya Walawi 26:27

Marejeo

  • +Law 26:21

Mambo ya Walawi 26:28

Marejeo

  • +Isa 59:18; Yer 21:5
  • +Law 26:18, 21

Mambo ya Walawi 26:29

Marejeo

  • +Kum 28:53; 2Fa 6:29; Yer 19:9; Omb 2:20; 4:10; Eze 5:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Yeremia, kur. 154-155

    “Kila Andiko,” uku. 26

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/1989, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    jr 155

Mambo ya Walawi 26:30

Marejeo

  • +1Fa 13:2; 2Fa 23:8; 2Nya 34:3; Isa 27:9
  • +2Fa 23:20; Yer 16:18; Eze 6:5
  • +Zb 78:59

Mambo ya Walawi 26:31

Marejeo

  • +2Fa 25:9; 2Nya 36:17; Ne 2:3; Isa 1:7; Yer 4:7
  • +Zb 74:7; Yer 52:13; Omb 1:10; Mk 13:2
  • +Mwa 8:21

Mambo ya Walawi 26:32

Marejeo

  • +Kum 29:23; Yer 9:11; Lu 21:20
  • +Kum 28:37; Yer 18:16; Omb 2:15; Eze 5:15

Mambo ya Walawi 26:33

Marejeo

  • +Zb 44:11; Yer 9:16
  • +Eze 12:14
  • +Yer 9:11; Zek 7:14

Mambo ya Walawi 26:34

Marejeo

  • +2Nya 36:21

Mambo ya Walawi 26:36

Marejeo

  • +Isa 24:6
  • +Law 26:17; Met 28:1; Isa 30:17; Eze 21:7

Mambo ya Walawi 26:37

Marejeo

  • +Yos 7:12; Amu 2:14; Isa 10:4; Yer 37:10

Mambo ya Walawi 26:38

Marejeo

  • +Kum 4:27; 28:48; Yer 42:17

Mambo ya Walawi 26:39

Marejeo

  • +Kum 4:27; 28:65; Eze 6:9
  • +Kut 20:5; Hes 14:18; Kum 5:9

Mambo ya Walawi 26:40

Marejeo

  • +1Fa 8:33; Ne 9:2; Da 9:5
  • +Yer 31:19; Eze 36:31

Mambo ya Walawi 26:41

Marejeo

  • +Law 26:24
  • +1Fa 8:47; 2Nya 36:20
  • +Kum 30:6; Yer 4:4; 9:26; Eze 44:7; Mdo 7:51; Ro 2:29
  • +2Nya 12:7

Mambo ya Walawi 26:42

Marejeo

  • +Mwa 28:13; Hes 32:11
  • +Mwa 26:3
  • +Mwa 12:7; Kut 2:24; Kum 4:31; Zb 106:45; Lu 1:72

Mambo ya Walawi 26:43

Marejeo

  • +Law 26:34; 2Nya 36:21
  • +Law 26:41; Hes 14:34
  • +2Fa 17:15
  • +Law 26:15

Mambo ya Walawi 26:44

Marejeo

  • +Kum 4:31; 2Fa 13:23; Ne 9:31; Ro 11:2
  • +Law 26:11
  • +Kum 4:13; Yer 14:21

Mambo ya Walawi 26:45

Marejeo

  • +Kut 24:3, 8; Kum 9:9
  • +Zb 98:2; Eze 20:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 26

Mambo ya Walawi 26:46

Marejeo

  • +Kum 6:1
  • +Law 27:34; Yoh 1:17

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 26:1Kut 20:4; Law 19:4; Zb 96:5; Mdo 17:29; 1Ko 8:4
Law. 26:1Kum 5:8
Law. 26:1Hes 33:52
Law. 26:1Da 3:18; 1Ko 10:14
Law. 26:2Law 19:30
Law. 26:3Kum 11:13; Mhu 12:13; Isa 48:18
Law. 26:4Kum 28:12; Isa 30:23; Eze 34:26; Yoe 2:23; Amo 4:7
Law. 26:4Zb 67:6; 85:12; Zek 8:12
Law. 26:4Eze 34:27; 36:30
Law. 26:5Kum 11:15; Yoe 2:19
Law. 26:5Law 25:18; Met 1:33; Yer 23:6
Law. 26:61Nya 22:9; Zb 29:11; Hag 2:9; Flp 4:9
Law. 26:6Ayu 11:19; Zb 4:8; Yer 30:10; Mik 4:4
Law. 26:62Fa 17:26
Law. 26:6Eze 14:17
Law. 26:7Zb 18:37
Law. 26:8Kum 28:7; 32:30; Yos 23:10; Amu 7:16; 15:15; 1Nya 11:20
Law. 26:9Kut 2:25; 2Fa 13:23
Law. 26:9Kum 28:4; Ne 9:23; Zb 107:38
Law. 26:9Kut 6:4
Law. 26:10Law 25:22
Law. 26:11Kut 25:8; Yos 22:19; Eze 37:26; Ufu 21:3
Law. 26:11Law 20:23; Yer 14:21
Law. 26:12Kut 6:7; Kum 23:14; 2Ko 6:16
Law. 26:12Yer 7:23; Eze 11:20
Law. 26:13Kut 20:2; Law 25:38; Yer 11:4
Law. 26:13Yer 2:20
Law. 26:14Kum 28:15; Mal 2:2
Law. 26:152Fa 17:15; Yer 13:10
Law. 26:15Kut 24:7; Kum 31:16; Yer 11:10; Ebr 8:9
Law. 26:16Kum 28:22
Law. 26:161Sa 2:33
Law. 26:16Eze 33:10
Law. 26:16Kum 28:33; Amu 6:3
Law. 26:17Kum 28:25; Amu 2:14; 1Sa 4:10; Omb 2:17
Law. 26:17Zb 106:41; Omb 1:5
Law. 26:17Law 26:36; Met 28:1
Law. 26:18Law 26:21; Zb 76:7; 79:12
Law. 26:19Kum 11:17; 1Fa 17:1
Law. 26:20Yer 12:13; Hag 1:6
Law. 26:20Kum 11:17; 28:18; Hag 1:10
Law. 26:21Law 26:18
Law. 26:22Kum 32:24; 2Fa 17:25; Yer 15:3
Law. 26:222Fa 2:24; Eze 5:17
Law. 26:22Amu 5:6; Isa 33:8; Eze 14:15; Zek 7:14
Law. 26:23Isa 1:16; Yer 2:30; 5:3; Ebr 12:6
Law. 26:24Ayu 9:4; Zb 18:26
Law. 26:24Law 26:18
Law. 26:25Eze 6:9; Ebr 10:30
Law. 26:25Kut 24:7
Law. 26:25Kum 28:21; 2Sa 24:15; Yer 24:10; Amo 4:10
Law. 26:25Amu 2:14; 1Sa 4:10
Law. 26:26Zb 105:16; Eze 5:16
Law. 26:26Eze 4:16
Law. 26:26Isa 9:20; Mik 6:14; Hag 1:6
Law. 26:27Law 26:21
Law. 26:28Isa 59:18; Yer 21:5
Law. 26:28Law 26:18, 21
Law. 26:29Kum 28:53; 2Fa 6:29; Yer 19:9; Omb 2:20; 4:10; Eze 5:10
Law. 26:301Fa 13:2; 2Fa 23:8; 2Nya 34:3; Isa 27:9
Law. 26:302Fa 23:20; Yer 16:18; Eze 6:5
Law. 26:30Zb 78:59
Law. 26:312Fa 25:9; 2Nya 36:17; Ne 2:3; Isa 1:7; Yer 4:7
Law. 26:31Zb 74:7; Yer 52:13; Omb 1:10; Mk 13:2
Law. 26:31Mwa 8:21
Law. 26:32Kum 29:23; Yer 9:11; Lu 21:20
Law. 26:32Kum 28:37; Yer 18:16; Omb 2:15; Eze 5:15
Law. 26:33Zb 44:11; Yer 9:16
Law. 26:33Eze 12:14
Law. 26:33Yer 9:11; Zek 7:14
Law. 26:342Nya 36:21
Law. 26:36Isa 24:6
Law. 26:36Law 26:17; Met 28:1; Isa 30:17; Eze 21:7
Law. 26:37Yos 7:12; Amu 2:14; Isa 10:4; Yer 37:10
Law. 26:38Kum 4:27; 28:48; Yer 42:17
Law. 26:39Kum 4:27; 28:65; Eze 6:9
Law. 26:39Kut 20:5; Hes 14:18; Kum 5:9
Law. 26:401Fa 8:33; Ne 9:2; Da 9:5
Law. 26:40Yer 31:19; Eze 36:31
Law. 26:41Law 26:24
Law. 26:411Fa 8:47; 2Nya 36:20
Law. 26:41Kum 30:6; Yer 4:4; 9:26; Eze 44:7; Mdo 7:51; Ro 2:29
Law. 26:412Nya 12:7
Law. 26:42Mwa 28:13; Hes 32:11
Law. 26:42Mwa 26:3
Law. 26:42Mwa 12:7; Kut 2:24; Kum 4:31; Zb 106:45; Lu 1:72
Law. 26:43Law 26:34; 2Nya 36:21
Law. 26:43Law 26:41; Hes 14:34
Law. 26:432Fa 17:15
Law. 26:43Law 26:15
Law. 26:44Kum 4:31; 2Fa 13:23; Ne 9:31; Ro 11:2
Law. 26:44Law 26:11
Law. 26:44Kum 4:13; Yer 14:21
Law. 26:45Kut 24:3, 8; Kum 9:9
Law. 26:45Zb 98:2; Eze 20:9
Law. 26:46Kum 6:1
Law. 26:46Law 27:34; Yoh 1:17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 26:1-46

Mambo ya Walawi

26 “‘Msijifanyie miungu isiyo na thamani,+ wala msijisimamishie sanamu ya kuchongwa+ au nguzo takatifu, wala msiweke jiwe kuwa sanamu katika+ nchi yenu ili kuliinamia;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu. 2 Mtazishika sabato+ zangu na kupaheshimu patakatifu pangu. Mimi ni Yehova.

3 “‘Mkiendelea kutembea katika sheria zangu na kushika amri zangu na kuzifuata,+ 4 hakika mimi pia nitawapa ninyi manyunyu yenu ya mvua wakati wake unaofaa,+ nayo nchi itatoa mazao yake,+ nao mti wa shambani utatoa matunda yake.+ 5 Na hakika kupura kwenu kutafikia ukusanyaji wenu wa zabibu, nao ukusanyaji wa zabibu utafikia upandaji wa mbegu; na hakika mtakula mkate wenu na kushiba+ na kukaa kwa usalama katika nchi yenu.+ 6 Nami nitaweka amani katika nchi,+ nanyi mtalala, pasipo yeyote wa kuwatetemesha;+ nami nitamkomesha katika nchi+ mnyama-mwitu mwenye madhara, nao upanga hautapita katika nchi yenu.+ 7 Na hakika ninyi mtawafuatilia adui+ zenu, nao wataanguka kwa upanga mbele yenu. 8 Na hakika watano kati yenu watawafukuza mia, na mia kati yenu watawafukuza elfu kumi, nao adui zenu wataanguka kwa upanga mbele yenu.+

9 “‘Nami nitageuka kwenu+ na kuwawezesha kuzaana na kuwazidisha ninyi,+ nami nitatimiza agano langu pamoja nanyi.+ 10 Na hakika mtakula vitu vya zamani vya mwaka uliotangulia,+ nanyi mtatoa nje vitu vya zamani kabla ya vitu vipya. 11 Na hakika mimi nitaweka maskani yangu katikati yenu,+ nayo nafsi yangu haitawachukia ninyi.+ 12 Na hakika mimi nitatembea katikati yenu na kujionyesha kuwa Mungu wenu,+ nanyi mtajionyesha kuwa watu wangu.+ 13 Mimi ni Yehova Mungu wenu, niliyewatoa katika nchi ya Misri ili msiwe watumwa kwao,+ nami nikavunja nira zenu na kuwafanya mtembee mkiwa wima.+

14 “‘Hata hivyo, ikiwa hamtanisikiliza wala kutenda amri zote hizi,+ 15 na ikiwa mtazikataa sheria zangu,+ na ikiwa nafsi zenu zitachukia maamuzi yangu ya hukumu hivi kwamba zisitende amri zangu zote, mfikie hatua ya kulivunja agano langu,+ 16 ndipo mimi nitawafanyia yanayofuata, na katika kutoa adhabu hakika nitaleta juu yenu usumbufu kwa kifua kikuu+ na homa kali, kufanya macho yafifie+ na kuifanya nafsi idhoofike.+ Nanyi mtapanda mbegu yenu bure, kwa maana adui zenu hakika wataila.+ 17 Na hakika mimi nitauweka uso wangu juu yenu, nanyi hakika mtashindwa mbele ya adui zenu;+ nao wale wanaowachukia ninyi watawakanyagia chini,+ nanyi kwa kweli mtakimbia wakati ambapo hakuna mtu yeyote anayewafuatilia.+

18 “‘Lakini ikiwa hamtanisikiliza ijapokuwa mambo yote hayo, ndipo nitawatia adabu mara saba zaidi kwa sababu ya dhambi zenu.+ 19 Nami nitakivunja kiburi cha nguvu zenu na kuzifanya mbingu zenu ziwe kama chuma+ na nchi yenu iwe kama shaba. 20 Nazo nguvu zenu zitatumika bure, kwa maana nchi yenu haitatoa mazao yake,+ nao mti wa dunia hautatoa matunda yake.+

21 “‘Lakini ikiwa mtaendelea kutembea kwa kunipinga nanyi msitake kunisikiliza mimi, ndipo nitakapoleta juu yenu mapigo mara saba zaidi kulingana na dhambi zenu.+ 22 Nami nitatuma wanyama wa mwituni katikati yenu,+ nao hakika watawaua watoto+ wenu na kukatilia mbali wanyama wenu wa kufugwa na kupunguza hesabu yenu, nazo barabara zenu kwa kweli zitakuwa ukiwa.+

23 “‘Hata hivyo, ikiwa kwa mambo hayo hamtakubali mimi niwarekebishe+ na iwe kwamba ni lazima tu mtembee kwa kunipinga, 24 ndipo mimi, naam, mimi nitatembea kwa kuwapinga;+ nami, naam, mimi nitawapiga mara saba kwa sababu ya dhambi zenu.+ 25 Nami hakika nitaleta juu yenu upanga unaolipiza kisasi+ kwa ajili ya agano;+ na hakika ninyi mtajikusanya katika majiji yenu, nami hakika nitaleta tauni katikati yenu,+ nanyi mtatiwa mkononi mwa adui.+ 26 Nitakapokuwa nimevunja fimbo zenu ambazo huning’inizwa mikate ya mviringo,+ kwa kweli wanawake kumi wataoka mkate wenu katika jiko moja na kuwarudishia mkate wenu kulingana na uzito;+ nanyi mtakula bali hamtashiba.+

27 “‘Hata hivyo, ikiwa pamoja na hayo hamtanisikiliza na iwe kwamba ni lazima tu mtembee kwa kunipinga,+ 28 ndipo nitakapotembea kwa kuwapinga vikali,+ na mimi, naam, mimi nitawatia adabu mara saba kwa sababu ya dhambi zenu.+ 29 Kwa hiyo mtakula nyama ya wana wenu, nanyi mtakula nyama ya binti zenu.+ 30 Na hakika mimi nitaangamiza mahali penu patakatifu pa juu+ na kuvikatilia mbali vinara vyenu vya uvumba na kuilaza mizoga yenu wenyewe juu ya mizoga ya sanamu zenu za mavi;+ nayo nafsi yangu itawachukia ninyi.+ 31 Nami nitayatia majiji yenu kwenye upanga+ na kufanya ukiwa patakatifu penu,+ wala sitanusa harufu zenu za kutuliza.+ 32 Nami nitaifanya nchi iwe ukiwa,+ nao adui zenu wanaokaa ndani yake wataitazama kwa mshangao.+ 33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa.

34 “‘Na wakati huo nchi italipa sabato zake siku zote za kukaa kwake ukiwa, huku ninyi mkiwa katika nchi ya adui zenu. Wakati huo nchi itashika sabato, kwa maana lazima ilipe sabato zake.+ 35 Siku zote za kukaa kwake ukiwa itashika sabato, kwa sababu haikushika sabato wakati wa sabato zenu mlipokuwa mkikaa juu yake.

36 “‘Nao wale wanaobaki katikati yenu,+ hakika nitatia woga mioyoni mwao katika nchi za adui zao; na sauti ya jani linalopeperushwa itawafukuza, nao kwa kweli watakimbia kama wanavyoukimbia upanga na kuanguka pasipo mtu yeyote kufuatilia.+ 37 Na hakika wao watajikwaa juu ya mmoja na mwenzake kana kwamba ni kutokana na upanga pasipo mtu yeyote kufuatilia, nanyi hamtakuwa na uwezo wowote wa kusimama na kuwapinga adui zenu.+ 38 Nanyi mtaangamia katikati ya mataifa,+ nayo nchi ya adui zenu itawala ninyi. 39 Na wale watakaobaki kati yenu, wataoza+ kabisa kwa sababu ya kosa lao katika nchi za adui zenu. Naam, kwa sababu ya makosa ya baba zao,+ pamoja nao wataoza kabisa. 40 Na hakika wao wataungama kosa lao wenyewe+ na kosa la baba zao katika ukosefu wao wa uaminifu walipojiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kunielekea mimi, naam, wakati ambapo walitembea kwa kunipinga.+ 41 Hata hivyo, mimi nilitembea kwa kuwapinga,+ na nikalazimika kuwaleta katika nchi ya adui zao.+

“‘Labda wakati huo moyo wao ambao haujatahiriwa+ utanyenyekezwa,+ na wakati huo watalipia kosa lao. 42 Nami nitalikumbuka agano langu pamoja na Yakobo;+ na hata agano langu pamoja na Isaka+ na hata agano langu pamoja na Abrahamu+ nitalikumbuka, nayo nchi nitaikumbuka. 43 Wakati wote huo walipoiacha nchi na ilipokuwa ikilipa sabato zake+ huku ikikaa ukiwa bila wao, nao wenyewe walikuwa wakilipia kosa lao,+ kwa sababu, naam kwa sababu, walikuwa wameyakataa maamuzi yangu ya hukumu,+ nazo nafsi zao zilikuwa zimechukia sheria zangu.+ 44 Na hata hivyo pamoja na yote hayo, huku wakiendelea kukaa katika nchi ya adui zao, hakika sitawakataa+ wala kuwachukia+ ili kuwaangamiza, na kulivunja agano+ langu pamoja nao; kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao. 45 Nami nitakumbuka kwa ajili yao lile agano la mababu+ zao ambao niliwatoa katika nchi ya Misri machoni pa mataifa,+ ili nijionyeshe kuwa Mungu wao. Mimi ni Yehova.’”

46 Hayo ndiyo masharti na maamuzi ya hukumu+ na sheria ambazo Yehova aliweka kati yake na wana wa Israeli katika Mlima Sinai kupitia Musa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki