Mambo ya Walawi 27:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hizo ndizo amri+ ambazo Yehova alimpa Musa kuwa amri kwa wana wa Israeli katika Mlima Sinai.+ Yohana 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ fadhili zisizostahiliwa+ na kweli+ zilikuja kupitia Yesu Kristo.
17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ fadhili zisizostahiliwa+ na kweli+ zilikuja kupitia Yesu Kristo.