Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 8:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+

  • Yohana 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.+

  • Yohana 18:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa hiyo Pilato akamwambia: “Kwa hiyo, basi, je, wewe ni mfalme?” Yesu akajibu: “Wewe mwenyewe unasema kwamba mimi ni mfalme.+ Kwa ajili ya hili mimi nimezaliwa, na kwa ajili ya hili nimekuja ulimwenguni, ili nitoe ushahidi juu ya ile kweli.+ Kila mtu aliye upande wa ile kweli+ huisikiliza sauti yangu.”+

  • 2 Wakorintho 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana hata ahadi+ za Mungu ziwe nyingi kadiri gani, zimekuwa Ndiyo kwa njia yake.+ Kwa hiyo kupitia yeye pia “Amina”+ husemwa kwa Mungu kwa ajili ya utukufu kupitia sisi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki