16 Kama sivyo, ukitoa sifa kwa zawadi ya roho, yule mtu aliyeketi kwenye kiti cha mtu wa kawaida atasemaje “Amina”+ kwa utoaji wako wa shukrani, kwa kuwa hajui lile unalosema?
14 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Laodikia+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema Amina,+ shahidi+ mwaminifu+ na wa kweli,+ mwanzo wa uumbaji wa Mungu,+