-
1 Wakorintho 14:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Kama sivyo, ukitoa sifa kwa zawadi ya roho, mtu wa kawaida miongoni mwenu atasemaje “Amina” unapotoa shukrani, kwa kuwa hajui unachosema?
-
-
1 Wakorintho 14:16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
16 Kama sivyo, ukitoa sifa kwa zawadi ya roho, huyo mtu aliyekalia kiti cha mtu wa kawaida atasemaje “Ameni” kwa utoaji wako wa shukrani, kwa kuwa hajui lile unalosema?
-