2 Wakorintho 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana hata ahadi+ za Mungu ziwe nyingi kadiri gani, zimekuwa Ndiyo kwa njia yake.+ Kwa hiyo kupitia yeye pia “Amina”+ husemwa kwa Mungu kwa ajili ya utukufu kupitia sisi.
20 Kwa maana hata ahadi+ za Mungu ziwe nyingi kadiri gani, zimekuwa Ndiyo kwa njia yake.+ Kwa hiyo kupitia yeye pia “Amina”+ husemwa kwa Mungu kwa ajili ya utukufu kupitia sisi.