-
2 Wakorintho 1:20Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
20 Kwa maana hata ahadi za Mungu ziwe ni ngapi, zimekuwa Ndiyo kwa njia yake. Kwa hiyo kupitia yeye pia ni “Ameni” isemwayo kwa Mungu kwa ajili ya utukufu kupitia sisi.
-