20 Kwa maana hata ahadi za Mungu ziwe nyingi kadiri gani, zimekuwa “ndiyo” kupitia yeye.+ Kwa hiyo, kupitia yeye pia “Amina” husemwa kwa Mungu,+ nayo humletea utukufu kupitia sisi.
20 Kwa maana hata ahadi+ za Mungu ziwe nyingi kadiri gani, zimekuwa Ndiyo kwa njia yake.+ Kwa hiyo kupitia yeye pia “Amina”+ husemwa kwa Mungu kwa ajili ya utukufu kupitia sisi.