Yohana 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mimi ndiye mlango;+ yeyote yule anayeingia kupitia kwangu ataokolewa, naye ataingia na kutoka na kupata malisho.+ Waroma 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ambaye kupitia yeye pia tumekaribia+ kwa njia ya imani kuingia katika fadhili hizi zisizostahiliwa ambamo sasa tunasimama; na acheni tufurahi, kwa kutegemea tumaini+ la utukufu wa Mungu. Waefeso 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 kwa sababu kupitia yeye, sisi, vikundi vyote viwili vya watu,+ tunaweza kumkaribia+ Baba kwa roho moja.+ Waebrania 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 aliyotuzindulia kuwa njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia,+ yaani, mwili wake,+
9 Mimi ndiye mlango;+ yeyote yule anayeingia kupitia kwangu ataokolewa, naye ataingia na kutoka na kupata malisho.+
2 ambaye kupitia yeye pia tumekaribia+ kwa njia ya imani kuingia katika fadhili hizi zisizostahiliwa ambamo sasa tunasimama; na acheni tufurahi, kwa kutegemea tumaini+ la utukufu wa Mungu.
18 kwa sababu kupitia yeye, sisi, vikundi vyote viwili vya watu,+ tunaweza kumkaribia+ Baba kwa roho moja.+