Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mimi ndiye mlango;+ yeyote yule anayeingia kupitia kwangu ataokolewa, naye ataingia na kutoka na kupata malisho.+

  • Waroma 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ambaye kupitia yeye pia tumekaribia+ kwa njia ya imani kuingia katika fadhili hizi zisizostahiliwa ambamo sasa tunasimama; na acheni tufurahi, kwa kutegemea tumaini+ la utukufu wa Mungu.

  • Waefeso 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 kwa sababu kupitia yeye, sisi, vikundi vyote viwili vya watu,+ tunaweza kumkaribia+ Baba kwa roho moja.+

  • Waebrania 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 aliyotuzindulia kuwa njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia,+ yaani, mwili wake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki