Yohana 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mimi ndiye mlango;+ yeyote yule anayeingia kupitia kwangu ataokolewa, naye ataingia na kutoka na kupata malisho.+ 2 Wakorintho 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini mambo yote yametoka kwa Mungu, aliyetupatanisha+ sisi kwake mwenyewe kupitia Kristo na kutupa sisi huduma+ ya upatanisho, Waefeso 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwamba wakati huo mlikuwa bila Kristo,+ mlikuwa mmetengwa mbali+ na taifa la Israeli nanyi mlikuwa wageni kwa maagano ya ahadi,+ wala hamkuwa na tumaini+ na mlikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+ Waefeso 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ambaye kwa njia yake tuna uhuru huu wa kusema na tuna uwezo wa kukaribia+ tukiwa na uhakika kupitia imani yetu katika yeye. Waebrania 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa njia ya kuingia+ katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu,
9 Mimi ndiye mlango;+ yeyote yule anayeingia kupitia kwangu ataokolewa, naye ataingia na kutoka na kupata malisho.+
18 Lakini mambo yote yametoka kwa Mungu, aliyetupatanisha+ sisi kwake mwenyewe kupitia Kristo na kutupa sisi huduma+ ya upatanisho,
12 kwamba wakati huo mlikuwa bila Kristo,+ mlikuwa mmetengwa mbali+ na taifa la Israeli nanyi mlikuwa wageni kwa maagano ya ahadi,+ wala hamkuwa na tumaini+ na mlikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+
12 ambaye kwa njia yake tuna uhuru huu wa kusema na tuna uwezo wa kukaribia+ tukiwa na uhakika kupitia imani yetu katika yeye.
19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa njia ya kuingia+ katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu,