Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mimi ndiye mlango;+ yeyote yule anayeingia kupitia kwangu ataokolewa, naye ataingia na kutoka na kupata malisho.+

  • 2 Wakorintho 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini mambo yote yametoka kwa Mungu, aliyetupatanisha+ sisi kwake mwenyewe kupitia Kristo na kutupa sisi huduma+ ya upatanisho,

  • Waefeso 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 kwamba wakati huo mlikuwa bila Kristo,+ mlikuwa mmetengwa mbali+ na taifa la Israeli nanyi mlikuwa wageni kwa maagano ya ahadi,+ wala hamkuwa na tumaini+ na mlikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+

  • Waefeso 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 ambaye kwa njia yake tuna uhuru huu wa kusema na tuna uwezo wa kukaribia+ tukiwa na uhakika kupitia imani yetu katika yeye.

  • Waebrania 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa njia ya kuingia+ katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki