Yohana 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.+ Waroma 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ambaye kupitia yeye pia tumekaribia+ kwa njia ya imani kuingia katika fadhili hizi zisizostahiliwa ambamo sasa tunasimama; na acheni tufurahi, kwa kutegemea tumaini+ la utukufu wa Mungu.
6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.+
2 ambaye kupitia yeye pia tumekaribia+ kwa njia ya imani kuingia katika fadhili hizi zisizostahiliwa ambamo sasa tunasimama; na acheni tufurahi, kwa kutegemea tumaini+ la utukufu wa Mungu.