Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ fadhili zisizostahiliwa+ na kweli+ zilikuja kupitia Yesu Kristo.

  • Waroma 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana nasema kwamba kwa kweli Kristo alikuwa mhudumu+ wa wale waliotahiriwa+ kwa ajili ya ukweli+ wa Mungu, ili kuthibitisha ahadi+ ambazo Yeye aliwapa mababu zao,

  • Waefeso 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 mradi tu mlimsikia yeye na mlifundishwa kupitia yeye,+ kama vile kweli+ ilivyo katika Yesu,

  • Wakolosai 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa maana mambo hayo ni kivuli+ cha mambo yanayokuja, bali uhalisi+ ni wa Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki