Yohana 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ fadhili zisizostahiliwa+ na kweli+ zilikuja kupitia Yesu Kristo. Waroma 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana nasema kwamba kwa kweli Kristo alikuwa mhudumu+ wa wale waliotahiriwa+ kwa ajili ya ukweli+ wa Mungu, ili kuthibitisha ahadi+ ambazo Yeye aliwapa mababu zao, Waefeso 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 mradi tu mlimsikia yeye na mlifundishwa kupitia yeye,+ kama vile kweli+ ilivyo katika Yesu, Wakolosai 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kwa maana mambo hayo ni kivuli+ cha mambo yanayokuja, bali uhalisi+ ni wa Kristo.+
17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ fadhili zisizostahiliwa+ na kweli+ zilikuja kupitia Yesu Kristo.
8 Kwa maana nasema kwamba kwa kweli Kristo alikuwa mhudumu+ wa wale waliotahiriwa+ kwa ajili ya ukweli+ wa Mungu, ili kuthibitisha ahadi+ ambazo Yeye aliwapa mababu zao,