Yohana 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.+ Waebrania 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa hiyo ilikuwa lazima kwamba mifano+ ya uhalisi wa vitu vilivyo mbinguni isafishwe kwa njia hizo,+ lakini vitu vya mbinguni vyenyewe visafishwe kwa dhabihu zilizo bora kuliko dhabihu za namna hiyo.
6 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye njia+ na kweli+ na uzima.+ Hakuna anayekuja kwa Baba ila kupitia kwangu.+
23 Kwa hiyo ilikuwa lazima kwamba mifano+ ya uhalisi wa vitu vilivyo mbinguni isafishwe kwa njia hizo,+ lakini vitu vya mbinguni vyenyewe visafishwe kwa dhabihu zilizo bora kuliko dhabihu za namna hiyo.