Mambo ya Walawi 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Pia atatapanya+ sehemu ya damu juu yake kwa kidole chake mara saba na kuisafisha na kuitakasa kutokana na uchafu wa wana wa Israeli. Mambo ya Walawi 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Atakapokuwa amemaliza kufanya upatanisho+ kwa ajili ya mahali patakatifu na lile hema la mkutano na ile madhabahu, atamtoa pia yule mbuzi aliye hai.+
19 Pia atatapanya+ sehemu ya damu juu yake kwa kidole chake mara saba na kuisafisha na kuitakasa kutokana na uchafu wa wana wa Israeli.
20 “Atakapokuwa amemaliza kufanya upatanisho+ kwa ajili ya mahali patakatifu na lile hema la mkutano na ile madhabahu, atamtoa pia yule mbuzi aliye hai.+