Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 16:1

Marejeo

  • +Law 10:2

Mambo ya Walawi 16:2

Marejeo

  • +Kut 30:10; Law 23:27; Ebr 9:7
  • +Kut 40:21; Ebr 6:19; 9:3; 10:20
  • +Hes 4:19
  • +Kut 40:34
  • +Kut 25:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    8/15/2005, uku. 31

    7/1/1996, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 8/15 31; w96 7/1 9

Mambo ya Walawi 16:3

Marejeo

  • +Kut 26:33; Ebr 9:7
  • +Law 4:3
  • +Law 1:3; 8:18

Mambo ya Walawi 16:4

Marejeo

  • +Kut 28:39; Ufu 19:8
  • +Kut 28:42
  • +Kut 39:29
  • +Kut 28:4; 1Ko 11:3
  • +Kut 28:2
  • +Kut 30:20; Ebr 10:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 1109

Mambo ya Walawi 16:5

Marejeo

  • +Law 4:14; Ebr 7:27
  • +Hes 29:11; 2Nya 29:21; Ezr 6:17
  • +Law 1:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Mambo ya Walawi 16:6

Marejeo

  • +Law 8:14; Ebr 9:7
  • +Ebr 10:1
  • +Law 9:7; Ebr 5:3
  • +Kut 30:30; Zb 135:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1998, uku. 12

    3/1/1987, uku. 28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 2/15 12

Mambo ya Walawi 16:8

Marejeo

  • +Hes 26:55; Yos 18:10
  • +Law 14:7, 53

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 225-226

Mambo ya Walawi 16:9

Marejeo

  • +Met 16:33
  • +Mdo 2:23

Mambo ya Walawi 16:10

Marejeo

  • +Law 14:7
  • +Law 16:22; Isa 53:4; Ro 15:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 225-226

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1989, kur. 16-17

Mambo ya Walawi 16:11

Marejeo

  • +Law 16:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1998, kur. 12, 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 2/15 12, 17

Mambo ya Walawi 16:12

Marejeo

  • +Ebr 9:4
  • +Kut 40:29; Law 6:13; Hes 16:46
  • +Ufu 8:4
  • +Kut 30:34, 36; Mdo 10:4; Ufu 5:8; 8:3
  • +Law 16:2; Ebr 6:19; 10:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, kur. 20-22

    Ufahamu,

    Upeo wa Ufunuo, uku. 87

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 87

Mambo ya Walawi 16:13

Marejeo

  • +Kut 25:22; Hes 16:7; 2Fa 19:15
  • +Kut 25:18, 21; 1Nya 28:11
  • +Kut 25:21; 34:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, kur. 20-22

    Ufahamu,

    Upeo wa Ufunuo, uku. 87

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 87

Mambo ya Walawi 16:14

Marejeo

  • +Ebr 9:22
  • +Ebr 9:12; 1Pe 1:2
  • +Ro 3:25; Ebr 9:24, 25; 10:4, 12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Mambo ya Walawi 16:15

Marejeo

  • +Law 16:5; Ebr 2:17; 5:3; 9:26; 1Yo 2:1, 2
  • +Ebr 6:19; 9:3, 7; 10:20
  • +Law 17:11; Ebr 9:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1998, kur. 12, 17

    3/1/1987, uku. 28

    “Kila Andiko,” kur. 29-30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 2/15 12, 17

Mambo ya Walawi 16:16

Marejeo

  • +Zb 51:5; Mhu 7:20; Ro 3:23
  • +Kum 32:5; 1Fa 8:46

Mambo ya Walawi 16:17

Marejeo

  • +Law 9:7; 16:6; Ebr 7:27
  • +Isa 53:6; Mk 10:45; Ebr 2:9; 9:7, 12; 1Yo 2:2; Ufu 1:5

Mambo ya Walawi 16:18

Marejeo

  • +Kut 38:1; Law 16:12
  • +Law 9:9; Ebr 9:22

Mambo ya Walawi 16:19

Marejeo

  • +Law 9:12

Mambo ya Walawi 16:20

Marejeo

  • +Kut 29:36; Law 8:15; 16:16; Ebr 9:23
  • +Law 16:8, 10; Ufu 5:9

Mambo ya Walawi 16:21

Marejeo

  • +Law 1:4
  • +Ne 1:6
  • +Zb 69:9; Isa 53:5; Efe 2:3
  • +1Ko 15:3; 1Pe 2:24
  • +Isa 53:6; 2Ko 5:21
  • +Law 14:7
  • +Mt 4:1; Lu 4:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1989, kur. 16-17

Mambo ya Walawi 16:22

Marejeo

  • +Isa 53:12; Yoh 1:29; Ro 15:3; Efe 1:7; Ebr 9:28; 1Pe 2:24; 1Yo 3:5
  • +Zb 103:12; Eze 18:22; Mik 7:19; Ebr 13:12
  • +Law 16:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 226

Mambo ya Walawi 16:23

Marejeo

  • +Eze 42:14; 44:19

Mambo ya Walawi 16:24

Marejeo

  • +Kut 30:20; Ebr 9:9; 10:22
  • +Law 6:16, 26
  • +Kut 28:4; Law 8:7
  • +Law 16:3
  • +Law 16:5
  • +Efe 1:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Mambo ya Walawi 16:25

Marejeo

  • +Kut 29:13; Law 3:16

Mambo ya Walawi 16:26

Marejeo

  • +Law 16:21
  • +Law 16:8
  • +Hes 19:7; Ebr 9:10

Mambo ya Walawi 16:27

Marejeo

  • +Law 4:12; 8:17; Ebr 13:11, 12

Mambo ya Walawi 16:29

Marejeo

  • +Kut 30:10
  • +Law 23:27; Hes 29:7
  • +Zb 35:13; Isa 58:5; 2Ko 7:10
  • +Law 23:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 139

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2004, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 24

Mambo ya Walawi 16:30

Marejeo

  • +Yoh 3:16; Ro 8:32; Tit 2:14; 1Yo 1:7; 3:16
  • +Zb 51:2; Yer 33:8; Eze 36:25; Efe 5:26; Ebr 9:14; 10:2

Mambo ya Walawi 16:31

Marejeo

  • +Law 23:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 139

    Amkeni!,

    3/8/1995, uku. 11

    “Kila Andiko,” uku. 28

Mambo ya Walawi 16:32

Marejeo

  • +Kut 29:7; Law 8:12; Mdo 10:38; Ebr 1:9
  • +Kut 29:29; Law 8:33; Ebr 5:5, 10; 7:11, 16
  • +Hes 20:26
  • +Kut 28:39; 39:28; Law 16:4
  • +Kut 28:2; Ufu 19:8

Mambo ya Walawi 16:33

Marejeo

  • +Law 16:16
  • +Law 16:20
  • +Kut 29:36; Law 8:15; 16:18
  • +Law 16:24; 1Yo 2:2

Mambo ya Walawi 16:34

Marejeo

  • +Law 23:31; Hes 29:7
  • +Kut 30:10; Ebr 9:7

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 16:1Law 10:2
Law. 16:2Kut 30:10; Law 23:27; Ebr 9:7
Law. 16:2Kut 40:21; Ebr 6:19; 9:3; 10:20
Law. 16:2Hes 4:19
Law. 16:2Kut 40:34
Law. 16:2Kut 25:22
Law. 16:3Kut 26:33; Ebr 9:7
Law. 16:3Law 4:3
Law. 16:3Law 1:3; 8:18
Law. 16:4Kut 28:39; Ufu 19:8
Law. 16:4Kut 28:42
Law. 16:4Kut 39:29
Law. 16:4Kut 28:4; 1Ko 11:3
Law. 16:4Kut 28:2
Law. 16:4Kut 30:20; Ebr 10:22
Law. 16:5Law 4:14; Ebr 7:27
Law. 16:5Hes 29:11; 2Nya 29:21; Ezr 6:17
Law. 16:5Law 1:3
Law. 16:6Law 8:14; Ebr 9:7
Law. 16:6Ebr 10:1
Law. 16:6Law 9:7; Ebr 5:3
Law. 16:6Kut 30:30; Zb 135:19
Law. 16:8Hes 26:55; Yos 18:10
Law. 16:8Law 14:7, 53
Law. 16:9Met 16:33
Law. 16:9Mdo 2:23
Law. 16:10Law 14:7
Law. 16:10Law 16:22; Isa 53:4; Ro 15:3
Law. 16:11Law 16:6
Law. 16:12Ebr 9:4
Law. 16:12Kut 40:29; Law 6:13; Hes 16:46
Law. 16:12Ufu 8:4
Law. 16:12Kut 30:34, 36; Mdo 10:4; Ufu 5:8; 8:3
Law. 16:12Law 16:2; Ebr 6:19; 10:20
Law. 16:13Kut 25:22; Hes 16:7; 2Fa 19:15
Law. 16:13Kut 25:18, 21; 1Nya 28:11
Law. 16:13Kut 25:21; 34:29
Law. 16:14Ebr 9:22
Law. 16:14Ebr 9:12; 1Pe 1:2
Law. 16:14Ro 3:25; Ebr 9:24, 25; 10:4, 12
Law. 16:15Law 16:5; Ebr 2:17; 5:3; 9:26; 1Yo 2:1, 2
Law. 16:15Ebr 6:19; 9:3, 7; 10:20
Law. 16:15Law 17:11; Ebr 9:22
Law. 16:16Zb 51:5; Mhu 7:20; Ro 3:23
Law. 16:16Kum 32:5; 1Fa 8:46
Law. 16:17Law 9:7; 16:6; Ebr 7:27
Law. 16:17Isa 53:6; Mk 10:45; Ebr 2:9; 9:7, 12; 1Yo 2:2; Ufu 1:5
Law. 16:18Kut 38:1; Law 16:12
Law. 16:18Law 9:9; Ebr 9:22
Law. 16:19Law 9:12
Law. 16:20Kut 29:36; Law 8:15; 16:16; Ebr 9:23
Law. 16:20Law 16:8, 10; Ufu 5:9
Law. 16:21Law 1:4
Law. 16:21Ne 1:6
Law. 16:21Zb 69:9; Isa 53:5; Efe 2:3
Law. 16:211Ko 15:3; 1Pe 2:24
Law. 16:21Isa 53:6; 2Ko 5:21
Law. 16:21Law 14:7
Law. 16:21Mt 4:1; Lu 4:1
Law. 16:22Isa 53:12; Yoh 1:29; Ro 15:3; Efe 1:7; Ebr 9:28; 1Pe 2:24; 1Yo 3:5
Law. 16:22Zb 103:12; Eze 18:22; Mik 7:19; Ebr 13:12
Law. 16:22Law 16:10
Law. 16:23Eze 42:14; 44:19
Law. 16:24Kut 30:20; Ebr 9:9; 10:22
Law. 16:24Law 6:16, 26
Law. 16:24Kut 28:4; Law 8:7
Law. 16:24Law 16:3
Law. 16:24Law 16:5
Law. 16:24Efe 1:7
Law. 16:25Kut 29:13; Law 3:16
Law. 16:26Law 16:21
Law. 16:26Law 16:8
Law. 16:26Hes 19:7; Ebr 9:10
Law. 16:27Law 4:12; 8:17; Ebr 13:11, 12
Law. 16:29Kut 30:10
Law. 16:29Law 23:27; Hes 29:7
Law. 16:29Zb 35:13; Isa 58:5; 2Ko 7:10
Law. 16:29Law 23:28
Law. 16:30Yoh 3:16; Ro 8:32; Tit 2:14; 1Yo 1:7; 3:16
Law. 16:30Zb 51:2; Yer 33:8; Eze 36:25; Efe 5:26; Ebr 9:14; 10:2
Law. 16:31Law 23:32
Law. 16:32Kut 29:7; Law 8:12; Mdo 10:38; Ebr 1:9
Law. 16:32Kut 29:29; Law 8:33; Ebr 5:5, 10; 7:11, 16
Law. 16:32Hes 20:26
Law. 16:32Kut 28:39; 39:28; Law 16:4
Law. 16:32Kut 28:2; Ufu 19:8
Law. 16:33Law 16:16
Law. 16:33Law 16:20
Law. 16:33Kut 29:36; Law 8:15; 16:18
Law. 16:33Law 16:24; 1Yo 2:2
Law. 16:34Law 23:31; Hes 29:7
Law. 16:34Kut 30:10; Ebr 9:7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 16:1-34

Mambo ya Walawi

16 Na Yehova akasema na Musa baada ya kifo cha wana wawili wa Haruni, waliokufa kwa sababu ya kukaribia kwao mbele za Yehova.+ 2 Na Yehova akamwambia Musa: “Sema na Haruni ndugu yako, asiwe akija nyakati zote katika mahali patakatifu+ ndani ya pazia,+ mbele ya kifuniko kilicho juu ya Sanduku, asije akafa;+ kwa sababu nitaonekana katika wingu+ juu ya kifuniko+ hicho.

3 “Haruni ataingia pamoja na vitu hivi katika mahali patakatifu:+ pamoja na ng’ombe-dume mchanga kwa ajili ya toleo la dhambi+ na kondoo-dume kwa ajili ya toleo la kuteketezwa.+ 4 Anapaswa kuvaa ile kanzu takatifu ya kitani,+ nayo ile suruali+ ya kitani itakuwa mwilini mwake, naye atajifunga kwa ukumbuu+ wa kitani na kujivika kile kilemba+ cha kitani. Hayo ni mavazi matakatifu.+ Naye atauosha mwili wake katika maji+ na kuyavaa.

5 “Na kutoka katika kusanyiko la wana wa Israeli+ atachukua wana-mbuzi dume wawili kwa ajili ya toleo la dhambi+ na kondoo-dume mmoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa.+

6 “Naye Haruni atamtoa yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili yake,+ naye atafanya upatanisho+ kwa ajili yake mwenyewe+ na nyumba yake.+

7 “Naye atawachukua wale mbuzi wawili na kuwasimamisha mbele za Yehova kwenye mwingilio wa hema la mkutano. 8 Na Haruni atapiga kura+ juu ya mbuzi hao wawili, kura moja kwa ajili ya Yehova na ile nyingine kwa ajili ya Azazeli.+ 9 Naye Haruni atamtoa yule mbuzi ambaye kura+ ilimwangukia kwa ajili ya Yehova, naye atamfanya kuwa toleo la dhambi.+ 10 Lakini yule mbuzi aliyeangukiwa na kura kwa ajili ya Azazeli atasimamishwa akiwa hai mbele za Yehova ili kufanya upatanisho kwa ajili yake, ili kumpeleka+ nyikani+ kwa ajili ya Azazeli.

11 “Na Haruni atamtoa yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili yake, na kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe na nyumba yake; naye atamchinja ng’ombe-dume huyo wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili yake.+

12 “Naye atachukua chetezo+ kilichojaa makaa yanayowaka moto kutoka katika madhabahu+ mbele za Yehova, na mikono yake yote miwili+ ikiwa imejaa uvumba uliotiwa manukato,+ naye atavileta ndani ya pazia.+ 13 Pia atautia uvumba juu ya moto mbele za Yehova,+ nalo wingu la uvumba litafunika kifuniko cha Sanduku,+ kilicho juu ya ule Ushuhuda,+ asije akafa.

14 “Naye atachukua sehemu ya damu ya ng’ombe-dume+ na kuitapanya kwa kidole chake mbele ya kifuniko upande wa mashariki, naye atatapanya+ sehemu ya damu hiyo kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko.+

15 “Naye atamchinja yule mbuzi wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili ya watu,+ naye ataileta damu yake ndani ya pazia+ na kufanya na hiyo damu+ sawa na vile alivyofanya na ile damu ya ng’ombe-dume; naye ataitapanya kukielekea kifuniko na mbele ya kifuniko.

16 “Naye atafanya upatanisho kwa ajili ya mahali patakatifu kuhusiana na uchafu+ wa wana wa Israeli na kuhusiana na maasi yao katika dhambi zao zote;+ na hivyo ndivyo anavyopaswa kufanya kwa ajili ya hema la mkutano, linalokaa pamoja nao katikati ya uchafu wao.

17 “Na mtu mwingine yeyote asiwemo katika hema la mkutano tangu anapoingia ndani ili kufanya upatanisho mpaka atakapotoka nje; naye atafanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya nyumba yake na kwa ajili ya kutaniko lote la wana wa Israeli.+

18 “Naye atatoka nje kwenda kwenye madhabahu,+ iliyo mbele za Yehova, na kufanya upatanisho kwa ajili yake, naye atachukua sehemu ya damu ya yule ng’ombe-dume na sehemu ya damu ya yule mbuzi na kuitia juu ya pembe za ile madhabahu kuizunguka pande zote.+ 19 Pia atatapanya+ sehemu ya damu juu yake kwa kidole chake mara saba na kuisafisha na kuitakasa kutokana na uchafu wa wana wa Israeli.

20 “Atakapokuwa amemaliza kufanya upatanisho+ kwa ajili ya mahali patakatifu na lile hema la mkutano na ile madhabahu, atamtoa pia yule mbuzi aliye hai.+ 21 Na Haruni ataweka mikono yake miwili+ juu ya kichwa cha yule mbuzi aliye hai na kuungama+ juu yake makosa+ yote ya wana wa Israeli na maasi yao yote na dhambi+ zao zote, naye atayaweka juu ya kichwa cha yule mbuzi+ na kumpeleka mpaka nyikani+ kwa mkono wa mtu aliye tayari.+ 22 Naye mbuzi huyo atachukua juu yake mwenyewe makosa+ yao yote mpaka katika nchi ya jangwa,+ naye atampeleka mbuzi huyo nyikani.+

23 “Naye Haruni ataingia katika hema la mkutano na kuvua yale mavazi ya kitani aliyokuwa amevaa alipoingia mahali patakatifu, naye atayaweka hapo chini.+ 24 Naye ataoga mwili wake katika maji+ katika mahali patakatifu+ na kuvaa mavazi+ yake na kutoka nje na kutoa toleo lake la kuteketezwa+ na toleo la kuteketezwa la watu+ na kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya watu.+ 25 Naye atayafukiza mafuta ya toleo la dhambi juu ya madhabahu.+

26 “Na yule+ aliyempeleka yule mbuzi kwa ajili ya Azazeli,+ atayafua mavazi yake, naye ataoga mwili wake katika maji,+ kisha anaweza kuingia kambini.

27 “Hata hivyo, yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi na yule mbuzi wa toleo la dhambi, ambao damu yao ililetwa ndani ili kufanya upatanisho, atawapeleka mpaka nje ya kambi; nao watateketeza ngozi zao na nyama yao na mavi yao katika moto.+ 28 Na yule aliyewateketeza atayafua mavazi yake, naye ataoga mwili wake katika maji, kisha anaweza kuingia kambini.

29 “Na itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwenu ninyi:+ Katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi huo,+ mtazitesa nafsi zenu,+ nanyi msifanye kazi yoyote,+ iwe ni mwenyeji au mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu. 30 Kwa maana katika siku hii upatanisho+ utafanywa kwa ajili yenu ili kuwatangaza kuwa safi. Mtakuwa safi kutokana na dhambi zenu zote mbele za Yehova.+ 31 Ni sabato+ ya pumziko kamili kwenu, nanyi mtazitesa nafsi zenu. Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo.

32 “Naye kuhani atakayetiwa mafuta+ na ambaye mkono wake utajazwa nguvu ili kutenda akiwa kuhani,+ atakayemfuata+ baba yake, atafanya upatanisho naye atavaa yale mavazi ya kitani.+ Hayo ni mavazi matakatifu.+ 33 Naye atafanya upatanisho kwa ajili ya patakatifu zaidi,+ na kwa ajili ya hema+ la mkutano na kwa ajili ya madhabahu+ atafanya upatanisho; na kwa ajili ya makuhani na kwa ajili ya watu wote wa kutaniko atafanya upatanisho.+ 34 Na hiyo itakuwa sheria kwenu mpaka wakati usio na kipimo,+ ili kufanya upatanisho kwa ajili ya wana wa Israeli kuhusu dhambi zao zote mara moja kwa mwaka.”+

Basi akafanya kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki