Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mungu alimweka kuwa toleo la kupatanisha+ kupitia imani katika damu+ yake. Ilikuwa hivyo ili kuonyesha wazi uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu alikuwa akizisamehe dhambi+ zilizotokea wakati uliopita wakati Mungu alipokuwa akivumilia kwa subira;+

  • Waebrania 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipofanywa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ ili sasa aonekane mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.+

  • Waebrania 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Wala si ili ajitoe mwenyewe mara nyingi, kama vile kuhani mkuu anavyoingia mahali patakatifu+ mwaka baada ya mwaka+ akiwa na damu isiyo yake mwenyewe.

  • Waebrania 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa maana haiwezekani damu ya ng’ombe na ya mbuzi kuondolea mbali dhambi.+

  • Waebrania 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini mtu huyu alitoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi daima+ na kuketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki