Waebrania 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu,+ Yesu, ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kwa mfano wa Melkizedeki.+ Waebrania 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 aliingia, si kwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe-dume wachanga,+ bali kwa damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote ndani ya mahali patakatifu na kupata ukombozi wa milele kwa ajili yetu.+ Waebrania 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa njia ya kuingia+ katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu,
20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu,+ Yesu, ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kwa mfano wa Melkizedeki.+
12 aliingia, si kwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe-dume wachanga,+ bali kwa damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote ndani ya mahali patakatifu na kupata ukombozi wa milele kwa ajili yetu.+
19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa njia ya kuingia+ katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu,