8 Hivyo roho takatifu hufanya iwe wazi kwamba njia+ ya kuingia ndani ya mahali patakatifu ilikuwa bado haijafunuliwa wakati lile hema la zamani lilipokuwa limesimama.+
24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipofanywa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ ili sasa aonekane mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.+