Matendo 17:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ni kweli, Mungu ameachilia mbali nyakati hizo za kutojua,+ lakini sasa anawaambia wanadamu wote kila mahali kwamba wanapaswa kutubu.+ Waroma 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Au je, wewe unadharau utajiri wa fadhili+ zake na uvumilivu wenye subira+ na ustahimilivu,+ kwa sababu hujui kwamba sifa ya fadhili za Mungu inajaribu kukuongoza wewe kwenye toba?+
30 Ni kweli, Mungu ameachilia mbali nyakati hizo za kutojua,+ lakini sasa anawaambia wanadamu wote kila mahali kwamba wanapaswa kutubu.+
4 Au je, wewe unadharau utajiri wa fadhili+ zake na uvumilivu wenye subira+ na ustahimilivu,+ kwa sababu hujui kwamba sifa ya fadhili za Mungu inajaribu kukuongoza wewe kwenye toba?+