2 Timotheo 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 akiwafundisha kwa upole wale wasio na mwelekeo unaofaa;+ kwa kuwa huenda Mungu akawapa toba+ inayoongoza kwenye ujuzi sahihi juu ya kweli,+ 2 Petro 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyoona kukawia, bali yeye ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+
25 akiwafundisha kwa upole wale wasio na mwelekeo unaofaa;+ kwa kuwa huenda Mungu akawapa toba+ inayoongoza kwenye ujuzi sahihi juu ya kweli,+
9 Yehova hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyoona kukawia, bali yeye ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+