Matendo 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi waliposikia mambo hayo, wakakubali kimyakimya,+ nao wakamtukuza Mungu,+ wakisema: “Kwa hiyo, basi, Mungu ameruhusu toba kwa kusudi la uzima kwa watu wa mataifa pia.”+
18 Basi waliposikia mambo hayo, wakakubali kimyakimya,+ nao wakamtukuza Mungu,+ wakisema: “Kwa hiyo, basi, Mungu ameruhusu toba kwa kusudi la uzima kwa watu wa mataifa pia.”+