Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 atamtoa ng’ombe mzima mpaka nje ya kambi+ katika mahali safi ambapo yale majivu yenye mafuta+ humwagwa, naye atamteketeza juu ya kuni kwenye moto.+ Mahali ambapo majivu yenye mafuta humwagwa, anapaswa kuteketezwa hapo.

  • Mambo ya Walawi 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye akamteketeza kwa moto yule ng’ombe-dume pamoja na ngozi yake na nyama yake na mavi yake nje ya kambi,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

  • Waebrania 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana miili ya wale wanyama ambao kuhani mkuu hupeleka damu yao ndani ya mahali patakatifu kwa ajili ya dhambi huteketezwa nje ya kambi.+

  • Waebrania 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo Yesu pia, ili apate kuwatakasa+ watu kwa damu+ yake mwenyewe, aliteseka nje ya lango.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki