Kutoka 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini nyama ya ng’ombe-dume na ngozi yake na mavi yake utaviteketeza kwa moto nje ya kambi.+ Hilo ni toleo la dhambi. Mambo ya Walawi 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Hata hivyo, yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi na yule mbuzi wa toleo la dhambi, ambao damu yao ililetwa ndani ili kufanya upatanisho, atawapeleka mpaka nje ya kambi; nao watateketeza ngozi zao na nyama yao na mavi yao katika moto.+
14 Lakini nyama ya ng’ombe-dume na ngozi yake na mavi yake utaviteketeza kwa moto nje ya kambi.+ Hilo ni toleo la dhambi.
27 “Hata hivyo, yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi na yule mbuzi wa toleo la dhambi, ambao damu yao ililetwa ndani ili kufanya upatanisho, atawapeleka mpaka nje ya kambi; nao watateketeza ngozi zao na nyama yao na mavi yao katika moto.+