Kutoka 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini nyama ya ng’ombe-dume na ngozi yake na mavi yake utaviteketeza kwa moto nje ya kambi.+ Hilo ni toleo la dhambi. Mambo ya Walawi 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Lakini ngozi ya ng’ombe-dume huyo na nyama yake yote pamoja na kichwa chake na miguu yake na matumbo yake na mavi yake,+ Mambo ya Walawi 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Hata hivyo, yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi na yule mbuzi wa toleo la dhambi, ambao damu yao ililetwa ndani ili kufanya upatanisho, atawapeleka mpaka nje ya kambi; nao watateketeza ngozi zao na nyama yao na mavi yao katika moto.+ Waebrania 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo Yesu pia, ili apate kuwatakasa+ watu kwa damu+ yake mwenyewe, aliteseka nje ya lango.+
14 Lakini nyama ya ng’ombe-dume na ngozi yake na mavi yake utaviteketeza kwa moto nje ya kambi.+ Hilo ni toleo la dhambi.
11 “‘Lakini ngozi ya ng’ombe-dume huyo na nyama yake yote pamoja na kichwa chake na miguu yake na matumbo yake na mavi yake,+
27 “Hata hivyo, yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi na yule mbuzi wa toleo la dhambi, ambao damu yao ililetwa ndani ili kufanya upatanisho, atawapeleka mpaka nje ya kambi; nao watateketeza ngozi zao na nyama yao na mavi yao katika moto.+