Hesabu 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Awe mwanamume au mwanamke mnapaswa kumtoa nje.+ Mnapaswa kumtoa nje ya kambi, ili wasije wakachafua+ kambi za wale ambao ninakaa katikati yao.”+ Waebrania 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana miili ya wale wanyama ambao kuhani mkuu hupeleka damu yao ndani ya mahali patakatifu kwa ajili ya dhambi huteketezwa nje ya kambi.+
3 Awe mwanamume au mwanamke mnapaswa kumtoa nje.+ Mnapaswa kumtoa nje ya kambi, ili wasije wakachafua+ kambi za wale ambao ninakaa katikati yao.”+
11 Kwa maana miili ya wale wanyama ambao kuhani mkuu hupeleka damu yao ndani ya mahali patakatifu kwa ajili ya dhambi huteketezwa nje ya kambi.+