20 Wanapoingia kwenye hema la mkutano wataoga kwa maji wasije wakafa, au wanapoenda karibu na madhabahu kuhudumia ili kumfukizia Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto.+
22 acheni tukaribie tukiwa na mioyo ya kweli katika uhakikisho kamili wa imani, mioyo yetu ikiisha kunyunyizwa kutokana na dhamiri+ ya uovu na miili yetu kuoshwa kwa maji safi.+