Ezekieli 36:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawasafisha ninyi kutokana na uchafu+ wenu wote na kutokana na sanamu zenu zote za mavi.+ Waefeso 5:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 ili alitakase,+ akilisafisha na kuliosha kwa maji kwa njia ya neno,+
25 Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawasafisha ninyi kutokana na uchafu+ wenu wote na kutokana na sanamu zenu zote za mavi.+